STAA wa filamu Bongo, Wema Sepetu ametaja sababu zinazomfanya aingie katika mgogoro na mama yake mzazi, Miriam Sepetu kuwa ni suala la uchumba wake na Nasibu Abdul ‘Diamond’ ambao alikuwa akiupinga mara kwa mara.
Akipiga stori na mapaparazi, Wema alisema kwa muda mrefu alikuwa akitofautiana kauli na mama yake katika suala zima la uhusiano wake na Diamond lakini anamshukuru Mungu amemuelewa na sasa kila kitu kinakwenda sawa.
Kama wameelewana basi ni jambo jema ... Ahsante sana LE MUTUZ kwa kutuhabirisha Karibu kweny blog yangu (but pichaless) ya maneno mbalimbali
ReplyDeleteTemblea hii address hapa chini;
http://mwenyekitiwamuda.blogspot.com/