Monday, July 28, 2014

Miezi miwili iliyopita msanii Nay Wa Mitego alianika utajiri wa ajabu zikiwemo nyumba nne na gari moja ya kisasa nissan murano!!  kupitia chanzo cha habari kilisema tangu Nay aachane na Manager wake miezi 7 iliyopita alikuwa hana ata nyumba moja ameshangaa kumuona ana nyumba nne ghafla, lakini manager amesema inawezekana jamaa anatafuta kiki ili watu wanaomuita kwenye show wafikirie kumpa mpunga mrefu na si laki laki wanazolipwa kwenye events! Amefunguka kwamba Nay kuwa na hizo nyumba basi itakuwa ni miujiza.

SOURCE:- BenKinyaiya Blog


0 comments:

Post a Comment