Monday, July 28, 2014

Super Bilionea Davis Mosha akiongea na Watoto Yatima na Wananchi nyumbani kwake jana baada ya kuwafuturisha nyumbani kwake jana jioni.













Kocha wa zamani wa Simba Julio Kiwelu akizungumza baada ya Futari hiyo.



Mtoto wa Super Mogul mwenye pink akiwa na watoto Yatima hao ambao wamekuwa wakifuturu nyumbani hapo kwao kwa Miaka mingi sasa na kuishia kuwa marafiki wa karibu.












1 comment:

  1. mtoto wa davis anafuraha,baba anampa kila kitu,hana roho yakimasikini

    ReplyDelete