
Gari aina ya Toyota Raum lenye namba za usajili T483 CMU likiwa eneo la kituo cha mabasi.

Dereva wa gari lililopata ajali ambaye jina lake halikufahamika mara moja akiongea na simu baada ya kunusurika kifo.
Dereva wa gari hilo mwenye asili ya Kihindi ambaye jina lake halikufahamika mara moja alishindwa kulimudu ndipo lilipovuka ukingo unaotenganisha barabara hiyo na kuhamia upande wa pili kisha kuparamia kituo cha abiria. Katika ajali hiyo hakuna mtu aliyejeruhiwa

Tairi likiwa limepasuka baada ya ajali hiyo.

Mashuhuda wakiwa eneo la tukio.PICHA NA GPL
0 comments:
Post a Comment