Posted by Williammalecela.com on Saturday, August 30, 2014
 |
"IKULU(WAMA)
MUDA HUU-Nikiwa Mwanafunzi niliyebahitika Kufundishwa na Mke wa Rais
Shule ya Msingi Kawe A
pia niliyesaidiwa Mpaka Kumaliza Masomo yangu ya
Uandish wa habari DSJ ngazi ya stashahada na Mama Salma R.Kikwete pia
leo tupo ktk sherehe za Kuipongeza Shule yake ya wama nakayama imefanya
vzr ktk Mitihani yake ya kidato cha nne Mwaka huu na Wanafunzi
aliyowasaidia Ktk Elimu namimi nikiwa Mojawapo najivunia kuwa Zao la
Mama Salma R.Kikwete."
|
0 comments:
Post a Comment