Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania ‘TAFF’, Simon Mwakifwamba.
RAIS wa Shirikisho la Filamu Tanzania ‘TAFF’, Simon Mwakifwamba amempongeza msanii wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel baada ya hivi karibuni kuandikwa kwenye mitandao mbalimbali kwamba sanaa hailipi hivyo wasanii wa kike wanaishi kwa kupewa fedha na wanaume zao.
Msanii wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel.
“Alichokisema Aunt ni kweli kabisa na mimi nilishaongea sana kuhusu wasanii wa kike kuuza sura kwa ajili ya kupata mabwana hata Steve Nyerere alishakiri kwamba kwenye tasnia kuna wanaume wanajihusisha na ushoga, sanaa ngumu jamani,” alisema Mwakifwamba.


0 comments:
Post a Comment