Friday, August 15, 2014

Le Big Show with Fans at the JKN Airport on the way to Mwanza live!!


On the Air in Fastjet Airbus


Arrival at downtown Mwanza with the Wife of Clouds Big Boss Mrs. Johaina Kusaga.

The Poolside at Ryan's Bay Hotel where I stayed U know live!!




Le Big Show with the Fiesta King the Clouds Big Boss Joe Kusaga at matayarisho ya the first Fiesta this year at Mwanza Kirumba Stadium jana 9/8/2014 where the history was made the tickets were sold out with 30,000 more people outside on lines waiting to get in!!


At downtown Mwanza Sister Galina live at the jiwe la ajabu U know!!





Le Big Show at the Jiwe la ajabu at downtown Mwanza U know live!!

Live at Malaika Resort with Galina + Mrs. Johaina Kusaga + Le Big Show + Clouds Big Boss Joe Kusaga U know at le Bataz Ubatan!!







Brother Saleh visiting from Dubai live at The Bataz Ubatan Malaika Resort live!!


Le Big Show at Tilapia Beach Hotel downtown Mwanza U know!!



Live at the Fiesta Show Kirumba Stadium






At the Fiesta Kirumba Stadium live with The Fiesta King Clouds Big Boss Joe Kusaga!!


Le Big Show with Super Star Blogger and Clouds FM & TV King Millardayo live at the Fiesta Show Kirumba Stadium.

Le Big Show with Babu Tale Diamond's Platznumz Man.



Le Big Show with Super Star Wema Sepetu + Aunt Ezekiel at the Fiesta Show Kirumba Stadium.


Pool's time at Ryan's Bay Hotel this morning


Le Mutuz Big Fan kama kawaida!

Le Big Show before boarding the Airbus Fastjet back to bongo at the Airport Mwanza with Super Star Singers Linah & Vanessa Mdee live!!






Le Big Show + Super Star Raper Ney wa Mitego + Vanessa Mdee at the Mwanza Airport live!!


Le Big Show with Super Star Bonge + Chege Chgunda + Madee live at the Airport Mwanza!!




Le Big Show with Clara live getting on board Airbus Fastjet!!





Selfie time on board Fastjet Airbus

Le Big Show live back in my Super Noah bongo U know I love it and thanks to my super God for the safe trip to Mwanza and back to bongo I love Mwanza u know it is kool!!

Nyota wa  muziki wa bongo fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinum’ akilitawala jukwaa pamoja na baadhi ya wacheza shoo wake katika onyesho  la kwanza la tamasha la Serengeti fiesta katika Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza lililofanyika mwishoni mwa wiki,tamasha hilo litaendelea kwenye miji mingine ya Bukoba na Kahama mwishoni mwa wiki.
 Baada ya kazi ya kuwaburudisha mashabiki wake,Mara Wema Sepetu a.k.a shemeji nae akajiunga kumpa sapoti mpenzi wake jukwaani.
Sehemu ya umati wa wakazi wa Jiji la Mwanza na maeneo jirani wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye tamasha la Serengeti fiesta 2014 lililoanza rasmi katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza mwishoni mwa wiki.
 Sehemu ya umati wa wakazi wa Jiji la Mwanza na maeneo jirani wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye tamasha la Serengeti fiesta 2014 lililoanza rasmi katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza mwishoni mwa wiki. 
  Sehemu ya umati wa wakazi wa Jiji la Mwanza na maeneo jirani wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye tamasha la Serengeti fiesta 2014 lililoanza rasmi katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza mwishoni mwa wiki. 
 Diamond
na Ney wa Mitego wakioneshana umwamba wa kuwateka mashabiki kila mmoja
kwa staili yake,huku miluzi na Shangwe ikiwa imtawala ndani ya uwanja.
 Mmoja
wa wasanii anaefanya vyema kwa sasa katika anga ya muziki wa bongofleva
Vanessa Mdee a.k.a V Money akitumbuiza mbele ya maelfu ya wakazi wa
jiji la Mwanza (hawapo pichani) waliojitokeza kwa wingi kushuhudia
mrindimo wa tamasha la Serengeti Fiesta ndani ya Uwanja wa CCM Kirumba
jijini humo,tamasha hilo limefanyika mwishoni mwa wiki.

.
 Mmoja wa wasanii anaefanya vyema kwa sasa kupitia wimbo wake mpya wa Ole Themba akiwa chini ya Kampuni mpya ya No Fake Zone,Linah Sanga akitumbuiza mbele ya maelfu ya
wakazi wa jiji la Mwanza (hawapo pichani) waliojitokeza kwa wingi
kushuhudia mrindimo wa tamasha la Serengeti Fiesta ndani ya Uwanja wa
CCM Kirumba lililofanyika mwishoni mwa wiki.
Sehemu ya umati wa wakazi wa Jiji la Mwanza na maeneo jirani
wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye tamasha la
Serengeti fiesta 2014 lililoanza rasmi katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini
Mwanza mwishoni mwa wiki.
 Sehemu ya umati wa wakazi wa Jiji la Mwanza na maeneo jirani
wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye tamasha la
Serengeti fiesta 2014 lililoanza rasmi katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini
Mwanza mwishoni mwa wiki.
  Sehemu ya umati wa wakazi wa Jiji la Mwanza na maeneo jirani
wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye tamasha la
Serengeti fiesta 2014 lililoanza rasmi katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini
Mwanza mwishoni mwa wiki.
 Wasanii wa kundi la Tanikando Group kutoka Igoma, Mwanza nao
wakionesha umahiri wao kupamba onesho la muziki la Serengeti fiesta 2014 lililofanyika mwishoni mwa wiki katika uwanja wa CCM Kirumba jijini humo na kuhudhuriwa na maelfu ya wapenzi na washabiki wa tamasha hilo.
   Sehemu ya umati wa wakazi wa Jiji la Mwanza na maeneo jirani
wakishangilia baada ya kukongwa na burudani wakati wa tamasha la
Serengeti fiesta 2014 lililoanza rasmi katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini
Mwanza mwishoni mwa wiki. 
 Sehemu ya Wasanii wa bongofleva waliofanya vyema katika tamasha la Fiesta 2014 kupitia shindano la Serengeti fiesta 2014 Supa Nyota.
 Msanii wa bongofleva anaekuja kwa kasi katika mchakato wa kuchanganya nyimbo za asili na za kizazi kipya kutoka Bukoba,BK Sande akiimba wimbo wake mpya uitwa OMWANA mbele ya Maelfu ya wakazi wa jiji la Mwanza katika tamasha la Serengeti Fiesta 2014 lililozinduliwa jijini Mwanza mwishoni mwa wiki.
Hivi ndivyo wakazi wa jiji Mwanza walivyojitokeza kwenye tamasha la Serengeti Fiesta lililofanyika mwishoni mwa wiki jijini Mwanza.
 Msanii wa Bongofleva kutoka Mo Music akiimba jukwaani
 Utulivu ulikuwepo wa kutosha ndani ya tamasha la Fiesta 2014 huku umati mkubwa ukishuhudia uzinduzi wa tamasha hilo jijini Mwanza katika viwanja vya CCM Kirumba,mwishoni mwa wiki.

Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Young  De, akifanya vitu vyake ndani
ya Uwanja wa CCM Kirumba wakati wa tamasha la Serengeti fiesta
2014, lililofanyika mwishoni mwa wiki jijini  Mwanza.
 Umakini na mitambo ya kutosha kuwapa burudani isiyo nakikomo kwa wakazi wa jiji la Mwanza.
Wakata Mikaa Chege na Themba wakishambulia jukwaa la fiesta
   Sehemu ya umati wa wakazi wa Jiji la Mwanza na maeneo jirani
wakishangilia baada ya kukongwa na burudani wakati wa tamasha la
Serengeri fiesta lililoanza rasmi katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini
Mwanza mwishoni mwa wiki,tamasha hilo wiki hii litaendelea katika miji ya Bukoba na kahama.
 Pichani kushoto ni Msanii kutoka ndani ya jiji la Mwanza.Young killer akiwa na msanii mwanzake amkimpa tafu kulishambulia jukwaa vilivyo
 Wadau wakuu wa tamasha hilo wakifurahia jambo
 Msanii wa bongo fleva, Mr Blue akikonga nyoyo za umati wa wakazi wa
Jiji la Mwanza waliojitokeza katika Uwanja wa CCM Kirumba katika tamasha
la Serengeti fiesta mwishoni mwa wiki ndani ya uwanaja wa ccm kirumba.
  Sehemu ya umati wa wakazi wa Jiji la Mwanza na maeneo jirani
wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri ndani ya tamasha la
Serengeri fiesta lililoanza rasmi katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini
Mwanza mwishoni mwa wiki,tamasha hilo wiki hii litaendelea katika miji ya Bukoba na kahama.
 Vijana wa Mkubwa Fella,Yamoto Band wakilishambulia jukwaa.
 Mkamua ngoma wa Diamond,Romyjons akifanya vitu vyake wakati Diamond akitumbuiza jukwaani.PICHA NA MICHUZI JR-MWANZA

0 comments:

Post a Comment