Posted by Williammalecela.com on Wednesday, August 13, 2014

Hatimaye
baada ya miaka minne klabu ya Simba SC ya Dar es Salaam leo imempokea
kocha wao Patrick Phiri ambaye anakuja kuchukua nafasi ya Zdrack
Logarusic.Phiri ambaye ameshaifundisha Simba huko nyuma anategemewa
kusaini mkataba wa miaka miwili na Simba.
0 comments:
Post a Comment