Friday, August 29, 2014

Ndugu Timothy Kulewa wa Manchester Uingereza, anasikitika kutangaza kifo cha Mke wake Maryam Nassor Jarufu kilichotokea juzi 26/08/2014 kwa Ajali ya gari Morogoro akitokea safarini Mwanza. Mazishi yanafanyika leo Ijumaa 29/08/2014 saa Tisa alasiri katika Makaburi ya Kinondoni, Dar es Salaam, Baada ya Misa itakayofanyika Kanisa la kilutheri Mbezi Beach ( Tangi Bovu) saa Saba mchana. 

0 comments:

Post a Comment