"Waafrika ndo hua wanadharauliwa kwa kila kitu, sisi ndo wa mwisho kwenye
kila kitu, tunachoongoza ni weusi tu ila elimu, politics, hela, maisha
mazuri, hadi lifestyle tutakua wa mwisho kila siku na sababu ni ujinga
na uvivu...
Angalia sasa hii picha South Korea, bango limewekwa kwenye bar nje kua muafrika haruhusiwi kuingia eti wanahofia ebola.."
Angalia sasa hii picha South Korea, bango limewekwa kwenye bar nje kua muafrika haruhusiwi kuingia eti wanahofia ebola.."
0 comments:
Post a Comment