Posted by Williammalecela.com on Thursday, August 21, 2014
 |
| Televisheni
ya ABC imeripoti kuwa Waziri mkuu wa Uingereza David Cameroon aliamua
kupanda usafiri wa umma (public transport) ktk viunga vya mji wa London
akielekea ofisini. Kwa bahati mbaya katika treni aliyopanda alikosa siti
hivyo akaamua kusimama huku akisoma gazeti hadi mwisho wa safari. This
is called "The beauty of leadership." Je viongozi wetu wanaweza kufanya
hivi?? |
0 comments:
Post a Comment