Thursday, September 25, 2014

CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA USHIRIKA NA BIASHARA MOSHI (MUCCOBS) CHAWA CHUO KIKUU KAMILI
CHUO Kikuu Kishiriki cha Ushirika na Biashara Moshi (MUCCOBS), kimekuwa chuo kikuu rasmi ambapo kwa sasa kitaitwa Chuo Kikuu Cha Ushirika Moshi (MoCU).
Taarifa hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA) waliokuwa walezi wa chuo hicho, Philemon Luhanjo.

Baadhi ya wahadhiri wa MoCU (MOSHI CO-OPETATIVE UNIVERSITY) wakiwa kwenye picha ya pamoja..Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA), Mhe. Philemon Luhanjo (wa nne kulia waliokaa) akiwa katika picha ya wajumbe wa bodi na wahadhiri wa chuo hicho

0 comments:

Post a Comment