Tuesday, September 23, 2014


Balozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa akimtabulisha Mkurugenzi na Mmiliki wa Delina Groups Inc. ya Tanzania, Super Mogul Davis Mosha kwa wananchi wa Tanzania wanaoshi Mjini New York City,USA katika sherehe kubwa sana iliyofanyika nyumbani kwa Balozi huyo Mheshimiwa Manongi, katika Kitongoji cha Mount Vernon, New Yrok the former home of Le Mutuz Big Shoow.
Sherehe hizo za Eid na mapokezi ya Mkurugenzi wa Delina Group Inc. Super Mogul Davis Mosha, huko New York City/USA pia zilihudhuriwa na Balozi wa Tanzania nchini Switzerland Balozi Mero ambaye pia alitoa machache kabla ya kumkaribisha rasmi Super Mogul kuongea na wananchi.
Kabla ya kuzungumza na wananchi hao waliokuwa wamemsubiri kwa muda mrefu sana The Super Mogul Mkurugenzi wa Delina Groups Inc., Davis Mosha alikaribishwa na pia na Balozi Mdogo wa Tanzania Umoja wa Mataifa huko New York City/USA, Mheshimiwa Mwinyi.
Hatimaye ilikuwa zamu ya Super Mogul Mkurugenzi wa Delina Groups Inc., Davis Mosha kuzungumza na wananchi hao wa Tanzania walioko New York City, Davis Mosha ambaye pia ni Mmiliki wa Delina, yupo nchini Marekni na mtoto wake Edgar kwa mapumziko karibu mwezi mzima sasa, safari ambayo pia imemfikisha miji kama Los Angeles na Texas. Kabla hajaenda huko Marekani, pia alipitia London/UK ambako pia mtoto wake Edgar alipata nafasi ya kufanya mazoezi ya majaribio ya mpira katika timu maarufu ya Chelsea FC.

0 comments:

Post a Comment