"Hivi wewe unataka nikufanyeje sasa??? Kwa nini unani stalk mimi jamani wewe sio rafiki yangu na wala sikujui kwanini unanifatafata lakini... Unalalamika umeitwa ngedere kwani wewe ni ngedere???? Sasa nakuchukulia restrain order maana naona uko obsess sana na mimi... Si ukae kwako uleee familia yako jamaniiiiiii.... Nonsense huna life eeh......."
- 900 people like this.
- Liz Haynes Hawa ndio ngedere sasa kama uko hivyo basi its u.. Na huyo anayekuletea habari zangu za facebook nae ni ngedere pia10 hrs ·
- 9 hrs ·
- Liz Haynes Namuacha ila bado ana snoop around kunifatafata halafu anawaambia watu ooh nimemuita nyani really jamani? Cha ajabu hayupo hata kwenye friend list yangu6 hrs ·
- 6 hrs ·
- Grace Luhanga Hebu aangalie TCC,TBL na Life Assurance watu wanafanya nn badala ya kujishuku na nyani wa Ruaha gubifigi huyo
- 2 hrs ·
- Nashe Karim Sasa nani huyo asiyekuwa na maisha anakazzna kuishi chini yako twin tupilia mbali hao hebu enjoy life plz2 hrs ·











0 comments:
Post a Comment