![]() |
| johari |
Jamani Johari anaomba mumuelewe na mumsome hataki kusingiziwa na hajawahi kuwa kimapenzi na Ray, watu mnielewe , mimi na Ray tuna company ya kutengeneza movie na si la zaidi naomba mnielewe na hiyo topic iwatoke mdomoni kwenu....

Kunawimbo wa Victoria kimani kaimba na Daimond na Ommy dimpoz, aisee nimzurii Diamond kaimba chorus vizuriii, utadhani c yeye,. Huyu Johari na uyo mwenzie watajijua wenyewe,,, wawewametiana au hawajatiana, mimi binafsi naona hayanihusu kakwelii nayangu kibaoo yamenigandaa.Reply

mkereketwa orijnoSeptember 24, 2014 at 8:32 AMTatizo wanapenda kujitangaza,si walikua wanaandikwa wapenzi miaka michache ilopita? Mara niachien ray wangu,mara wakufa na kuzikana.vipi na mainda nae anasingiziwa? Jamani msiwe mnajitapa na hao wanaume cha wote, bora mfanye yenu kimya kimya.mnajitangaza wee mwisho wa sku gumegume linaenda kuibua mwingne unabaki kuumia tu. Uzuri una kazi nyie pigen kazi tu,tulia utapata wako.maana wanaume ndio hao pasua kichwa.na kama hakuwahi kuwa wako usijipe presha.maneno hata kwenye kanga yapo,na huez zuia mtu asikuseme.Reply
Johari acha uongo ugomvi wako na Mainda kisa kilikuwa kumgombea Ray na ugomvi wako na Chuchu Hans kisa ni Ray sasa vipi leo useme hakuwa mpenzi wako? bora ungenyamaza tu kuliko kujidharirisha na kama Ray hakuwa mpenzi wako mbona alikutwa katoka kuoga kwenye bafu lililopo chumbani mwako kipindi kile upo mapenzini na Hartman acha kutudanganyaReply
AnonymousSeptember 24, 2014 at 9:04 AMHata kama alikuwa na uhusiano naye atasema? au ni maneno ya mkosaji? ok nakuombea upate mume mwema huyo ray na yale matatoo inahuu? nachukia sana mtu anayechora tatoo nyingi kama ray uchafuuuuReply
AnonymousSeptember 24, 2014 at 9:20 AMuyu nae skuiz kawa mbaya mmh anampenda ray mpaka anaumwa pole yake angetfta tu mme wa kumuoa ray atakaa aje amuoe ila uyu dada anakipaji jaman apo tu ndo nnapompendeaReply
AnonymousSeptember 24, 2014 at 9:33 AMHawa nao hawajielewi. Hata kama hatujui kusoma, picha inatupa hali halisi.Reply
AnonymousSeptember 24, 2014 at 9:44 AMJohari!! Wacha uongo, or kaa kimya pia hilo ni pia ni jibu.Reply
AnonymousSeptember 24, 2014 at 9:56 AMHee! Mabwaku haya, awadanganye nyie msioelewa hii movie. MxiiiiiiiieewReply
AnonymousSeptember 24, 2014 at 10:12 AMjamani mliona nirvana jana ya lulu hongera kwa nyumba na mambo mengine ila my little dia lulu kiingilishii jamani achana nacho unapofanya interview mana kumalizia ni shida kwenye interview tu mama halafu mbali ya kujua kuvaa pata tip kwenye magazine na kwengineko about fashooooooooonnnn mpenzi ni kama hujui kujieleza abt fashooooon mama c kwa ubaya ni hayo tu ila mambo c mabaya kabisa uko vizuri.Reply
AnonymousSeptember 24, 2014 at 10:29 AMjamani kuna wimbo umeimbwa na mdasa anaitwa Hush babe unaitwa Niamini nimeusikia jana nikajumlisha na timbwili linaloendelea kwenye mahusiano yangu hadi nikatoka machozi.wanaume wanatesa sana kama hayakukuta usiombe yakukute.Reply
Mxiiiiiuuuuu zako we Johari,unatafuta kukumbukwa maana tushakusahau,huyo ray alikuwa libaba lako mkawa mnamgombania we na Mainda,mwishowe Chuchu hans kabeba mzigo..Reply
Vp yule mzungu wako ulikuwa wamfuata canada???
Kuna siku nilitoa ushauri WA kufunga siku Saba kwa jambo lolote gumu,ilikuwa Kuna mtu anaomba ushauri kaporwa mchumba,Kuna mtu akajibu Nisimshirikishe Mungu kwenye uasi,nilishangaa Sana,yule alieomba ushauri hakuna sehemu aliyoweka wazi alikuwa anafanya matusi na huyo mchumba,Leo nakuja na ushuhuda WA kufunga,nimefunga kwa ajili ya mtoto wangu,kamaliza darasa la Saba!amefanya interview kwenye shule moja nzuri Sana,watoto walikuwa 600 wakachaguliwa 120 akawemo,na Ni shule ya kanisa na mwanangu muislam,na wanachagua kwanza waumini wao,Kisha waislam wachache Sana,Kati ya waislaam 2 waliochukuliwa na mwanangu Yuko,sasa wewe endelea kubisha kuhusu kufunga.Reply
AnonymousSeptember 24, 2014 at 11:13 AMhahahaa ndito umenifuraisha sana hlf we binti wa kikwere johari hajawai toka na hartmann alitoka na mcdonald ambaye walimdhurumu yy na ray wakaanzisha hyo kampun yaoReply
RosiliciousSeptember 24, 2014 at 11:36 AMKhaaaa huyu nae na uzee huyu bado anatafuta kik tuuu....kweli uzee mwisho chalinze mjin kila mtu bebi.....sasa ndo kaongea nn hapo aaarrgghhh ndito miss uReply
AnonymousSeptember 24, 2014 at 11:36 AMMungu tu akujalie johari upate mtoto uwe busy kumlea kuliko kuwa busy na huyo vincent kigovi. wewe mkongwe ujueReply
OUT OF TOPIC
Jamani ile kauli ya nora naona ishaanza kumletea kizazaa.Anapigwa maneno makali mara bibi.mara alishauguaga zamani.Maskini Dah.Salama kamchuza kweli mwenzie




Reply