Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Augustino Mrema (kushoto) pamoja na Mhe. Steven Wasira wakiteta jambo wakati wa Bunge hilo leo 8 Septemba, 2014 Bungeni mjini Dodoma.
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakifuatilia uwasilishwaji wa taarifa toka kamati mbalimbali za Bunge hilo leo 8 Septemba, 2014 Bungeni mjini Dodoma.
0 comments:
Post a Comment