Tuesday, September 16, 2014


"Hii imetokea siku chache zilizopita kijiji kimoja Mtwara. Kampuni moja ya GAS Exploration ikajikuta vitendea kazi vyake vinakwama mpaka wazee wa kijiji watoe ruhusa ili uchimbaji uendelee.
Wakajaribu kupuuzia na kuendelea na kazi drilling bit zikawa zinakatika kwenye mwamba. Ikabidi wazungu wakubali kupigwa kikombe cha bibi na majivu sijui ya nini..baada ya hapo uchimbaji ukaendelea kiulaaani. I wish hili juju lingetumika vizuri Watanzania tungekua mabilionea. Juju lipo."



0 comments:

Post a Comment