Mastaa wa Bongo Fleva Zuwena Mohamed ‘Shishi Baby’ na Elias Barnaba ‘Barnaba Boy’ beneti.
WASANII WALIOWAHI KUOGELEA KATIKA DIMBWI ZITO LA MAHABA KISHA KUMWAGANA, ZUWENA MOHAMED ‘SHISHI BABY’ NA ELIAS BARNABA ‘BARNABA BOY’, WAMEZUA MASWALI MAPYA KWA MASHABIKI NA KULETA TAFSIRI KUWA HUENDA WAMERUDIANA.
Tukio la wawili hao kugandana kama zamani lilijitokeza juzikati walipokuwa kwenye shoo ya Serengeti Fiesta, Musoma ambapo kwenye gari walikuwa wamekaa pamoja na hata mazungumzo yao yalikuwa kama ya mtu na mtuwe.ENDELEA HAPA>>
0 comments:
Post a Comment