Posted by Williammalecela.com on Tuesday, September 09, 2014
 |
-
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri
Kaguta Museveni, anatarajiwa kuwasili nchini siku ya
Jumatano asubuhi, tarehe 10 Septemba, 2014 kwa ziara ya
kikazi ya siku
Katika ziara hiyo nchini, Mhe. Museveni
atakuwa na mazungumzo na mwenyeji wake, Mhe. Jakaya Mrisho
Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ikulu, Dar
es Salaam. Rais Museveni ataondoka baadaye siku hiyo hiyo
kurejea
nyumbani.
IMETOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA
SERIKALI,
WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO
WA
KIMATAIFA
|
0 comments:
Post a Comment