wakati akizungumzia suala zima la matumizi fasaha ya mbolea na viatilifu kwenye mazao
Asasi ya sekta binafsi ya wakulima wa mboga mboga,Matunda, maua, viungo na mbegu zake imehadhimisha siku ya wakulima shambani kwa wakulima wa kijiji cha Mferejini-Machame katika wilaya ya Hai Mkoa wa Kilimanjaro.
Maadhimisho hayo yamekuwa yakifanyika kila baada ya Mwezi mmoja mpaka miwili ili kutoa fursa kwa wananchi kujifunza mbinu bora za kilimo cha mazao ya ‘horticulture’ ikiwa ni sambamba na kujifunza mbinu fasaha za kilimo biashara.
0 comments:
Post a Comment