MOJA ya tatizo kubwa linalowasumbua wasanii wetu, hasa hawa wa muziki wa kizazi kipya, ni ukosefu wa usimamizi makini wa kazi zao za sanaa, au kama wazungu wanavyosema, Management. Wenyewe, hasa chipukizi wanaotaka kutoka, utawasikia wanasema, nina kipaji lakini sina meneja. Ingawa wanaposema meneja maana yake ni msimamizi wa kazi zao, lakini kwao huwa na maana pana zaidi, kwamba mtu huyo, ndiye awe bosi wake, amsaidie hela ya studio, kazi ikitoka aipeleke redioni kisha awe ndiye msimamizi na mpangaji wa kila kitu chake. Mikataba wanayoingia na mameneja hawa, huwaonyesha wao kama waajiriwa. Baada ya hapo ni kufuata amri zao, ndiyo maana
Friday, September 5, 2014
MOJA ya tatizo kubwa linalowasumbua wasanii wetu, hasa hawa wa muziki wa kizazi kipya, ni ukosefu wa usimamizi makini wa kazi zao za sanaa, au kama wazungu wanavyosema, Management. Wenyewe, hasa chipukizi wanaotaka kutoka, utawasikia wanasema, nina kipaji lakini sina meneja. Ingawa wanaposema meneja maana yake ni msimamizi wa kazi zao, lakini kwao huwa na maana pana zaidi, kwamba mtu huyo, ndiye awe bosi wake, amsaidie hela ya studio, kazi ikitoka aipeleke redioni kisha awe ndiye msimamizi na mpangaji wa kila kitu chake. Mikataba wanayoingia na mameneja hawa, huwaonyesha wao kama waajiriwa. Baada ya hapo ni kufuata amri zao, ndiyo maana
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments:
Post a Comment