5 BORA YA MIJI MIBOVU MAREKANI
5.
LOUISIANA
![]() |
| Picha|yahoo. |
Ni
mji ambao unasambaza asilimia 90 ya samaki wa viwandan Dunia nzima. Idadi ya
wakazi wenye elimu ya degree ni 21.4%, huku mwaka 2012 wastani wa kipato cha
wakazi hao kwa siku kikiwa dola 42,944 kwa mwaka 2012 sawa na shilingi elfu 69
za Tanzania. Asilimia 20 ya wakazi wa mji huu ni masikini kwasababu wanaingiza
kipato chini ya dola moja.
4.
KENTUCKY
![]() |
| Picha|modapk.org. |
Ni
mji wa kilimo na viwanda. Mjii huu unashika namba tano kwa ufugaji wa kondoo
Marekani, namba nane kwa uzalishaji wa nyama na namba 14 kwa uzalishaji wa
nafaka nchini hapo. Asilimia 21 ya wakazi wa Kentusky wana elimu ya degree huku
wastani wa kipato kwa wakazi kwa mwaka 2012 kikiwa ni dola 41,724 sawa na
shilingi za Tanzania elfu 67.
3.
MISSISSIPPI
![]() |
| Picha|destination360.com. |
Uchumi
wa mjii huu unategemea kilimo. Asilimia 19 ya wakazi wa mjii huu kiwango chao
cha elimu ni degree huku wastani wa kipato kwa wakazi wa Mississippi kwa mwaka
2012 ni dola 37,095.
2. ARKANSAS
![]() |
| Picha|lakeouachita.org. |
Rais
mstaafu wa Marekani Bill Clinton ni mzaliwa wa mji huu ambao asilimia 18 ya
wakazi wana elimu ya degree. Arkansas inashika namba nne kwa uzalishaji wa mbao
Marekani. Wastani wa asilimia 7.5 ya wakazi wa Arkansas hawana ajira huku
asilimia 15 ya wakazi wa mjii wakiandamwa na umasikini. Pamoja na hayo kipato
cha kaya ni dola 40,112.
1. WEST
VIRGINIA
![]() |
| Picha|yahoo. |
Hapa
ndipo kilipo Chuo Kikuu cha West Virginia. Mji huu una kiwanda cha makaa ya
mawe ambacho kinapata upinzani mkubwa wa kibiashara toka kwa vyanzo vingine vya
umeme ikiwemo viwanda vya gesi vya miji mingine. Katika jitihada za kuvutia
biashara katika eneo hilo Serikali ya Marekani ilishusha kodi mpaka asilimi 6.5
toka asilimia 8.5. Wasomi wenye degree katika mji huo ni asilimi 17.3 huku
kipato kwa kaya kikiwa ni dola 40,196.





0 comments:
Post a Comment