![]() |
"Makamba ni msomi kijana, na Tanzania ya sasa inahitaji rais wa kisasa atakayekwendana na kasi ya dunia ya leo, na January ni kizazi cha digitali, siyo kizazi cha BBC ‘yaani Born Before Computer’ ambao hawana uwezo wa kukabiliana na kasi ya dunia ya leo” alisema Mzee Makamba.
Chanzo: MWANANCHI

0 comments:
Post a Comment