Posted by Williammalecela.com on Monday, October 27, 2014
Jiko
linahitaji kupambwa na usafi baada ya shughuli zako za jikoni
unasafisha na kupamba vizuri kwa mauwa pembeni safi,hata mgeni akija
nyumbani kwako hajiulizi mara mbili kama akikaribishwa chakula.Kuna
nyumba nyingine Loh!! unatamani kukimbia ukiambiwa karibu chakula, Ni
vizuri kama upo busy sana jaribu kumsimamia mschana wa kazi kuhusu usafi
wa jiko na kupanga vyombo vyako sehemu safi.kwa wale wenye Open Kitchen
kwa hapa bongo ni vizuri kuwa na vent- hoods ili kuondoa harufu ya
chakula kwenda dining na siting room, sababu ile harufu ya chakula ua
inakaa kwenye makochi na mapazia,then utakuta nyumba inanuka shombo ya
chakula.

 |
|



 |
Natural
ni muhimu ndani ya nyumba ,jaribu kuwa na mimea kiasi ndani ya nyumba
inapendeza pia.Kama mimea natural inakushinda kumaintain basi jaribu
hata artificial ila chagua yale yanayo endana na ukweli ..Maua yana
pambwa sehemu zote kama,Toilet,Kitchen Room, Dinning,siting room na Bed
room na garden yenyewe. weka maua ya kiasi tu ndani ya nyumba maana ya
kizidi sana yanakuwa ni kero na uchafu
|
 |
Wengi
wetu tumekuwa hatutili maanani chooni sababu tumekuwa na tabia kuwa
chooni ni sehemu ya kujisaidia. ,Nachotaka kusema kuwa naomba tupende
toilets zetu sababu ndio sehemu kubwa ambayo tunafanyia starehe zetu,
Pili ni sehemu kubwa ya mtu kukupima usafi wako na hustarabu ukifuatiwa
na jikoni,ni vizuri kama hutaweza kupamba toilet yako kwa kuweka
maua,mirros,Carpet Sets For Toilet And Bathroom hii itakufanya
kuonekana smart,pili kwa wale wenye toilet ya moja kwa moja tujitahidi
kufanya kuwa kukavu mda wote hii ni moja ya usafi.
|

0 comments:
Post a Comment