HII
kali! Kukamatwa na polisi kwa mfanyabiashara bilionea jijini Dar,
Mharami Mohamed Abadallah ‘Chonji’ (44) (aliyezungushiwa duara) hivi
karibuni akidaiwa kukutwa na madawa ya kulevya ‘unga’ aina ya heroin
yenye thamani ya shilingi 300,000,000 kumelitikisa Jiji la Dar, Uwazi
limefuatalia hatua kwa hatua.
Wednesday, October 29, 2014
Posted by Williammalecela.com on Wednesday, October 29, 2014
1 comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Watu kama hawa wahukumiwe kunyongwa sababu wameangamiza mamilioni ya vijana wetu,next generation iko hatarini kuangamia. Sijui wenzangu watz mnalionaje hili janga. This is huge than AIDS,EBOLA,ETC...
ReplyDelete