
Usiku wa Juzi Pale mlimani City Palikuwa na Fainali za Mashindano ya Miss Tanzania 2014 na Taji likachukuliwa na Mrembo Sitti Mtemvu …
Leo Asubuhi Mitandoni zimejaa Habari Kuwa Miss huyo Kapendelewa na pia Hafai kutwaa Taji hilo na wengi wakilalamika ilikuwa imepangwa kwa kuwa baba yake ni mbunge
…
Jamani Embu Tujuzeni kwa wanao jua ..maaana huko Insta ni Shida balaaaa…
0 comments:
Post a Comment