Posted by Williammalecela.com on Friday, October 17, 2014
 |
Kigogo wa RITA aliyetoa cheti cha kuzaliwa cha Sitti Mtemvu matatani
Kigogo wa RITA aliyetoa cheti kwa mtoto wa mbunge Abbas Mtevu
ameanzwa kuchunguzwa kama kweli alifuata taratibu za utoaji wa cheti.
Vikao vilikuwa vikiendelea RITA manispaa ya Temeke kujua kama kweli
cheti ni original au cha kupika, ingawa taarifa za ukweli ni kwamba
cheti hicho ni original.
Inaonyesha Sitti Mtemvu anamiliki vyeti viwili
1. Kabla ya rita kuanzishwa . Ambacho alizaliwa 1989
2. Kipya kinachooonesha ana miaka 18.
Haki itendeke isiwe ugomvi wa wakurugenzi wa Rhino agency ; wanamtupia msala binti Mtemvu. | |
0 comments:
Post a Comment