Mkuu wa majeshi wa zamani nchini Rwanda ,jenerali Kayumba Nyamwasa ameiambia BBC kwamba anaamini Raisi Paul Kagame wa Rwanda alihusika na udunguliwaji wa ndege na kifo cha rais wa zamani wa Rwanda hayati Juvenal Habyarimana pamoja na mwenziwe kutoka Burundi mnamo mwaka 1994 , mauaji ambayo Nyamwasa anasema yalikuwa chanzo cha mauaji ya kimbari nchini Rwanda.
Sunday, October 5, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment