Mauzauza? Katika hali ya kushangaza, mwigizaji wa Kundi la Vituko Show linalorusha vipindi vyake kwenye Runinga ya Channel Ten, Jasmini Emiry anadaiwa kuzua timbwili kanisani na kusababisha tafrani madhabauni ikisemekana ni mapepo.
Tukio hilo lililoshuhudiwa na mwanahabari wetu lilijiri kwenye Kanisa Kuu la Mtakatifu Patriki mjini hapa, mwishoni mwa wiki iliyopita, wakati wa kuaga mwili wa msanii mwenzake, Shirley Edward almaarufu Sherry Magali.
0 comments:
Post a Comment