Katika ukurasa wake wa Instagram (@mkubwafella) ameomba watu wake waungane nae kwenye hili pia ili aweze kuichukua hiyo nafasi kwa kuandika ‘Leo wadau naomba dua zenu nagombea serikali ya mtaa huku kwetu Kitungule na nipo na Mgombea mwenzangu ndio tunagombania hiki kiti apate yeye au nibebe mimi Inshaallah’
N
0 comments:
Post a Comment