Akiongea na eNewz kuhusiana na tukio hili, Kiongozi wa Bendi ya Malaika, ambaye amerejea Dar akitokea Morogoro leo Christian Bella, amesema kuwa anasikitika kwa msiba huu na siku ya leo wanatarajia kukutana kwa ajili ya kuweka mipango ya msiba, na hapa anaeleza.
Thursday, October 2, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment