MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya nchini, Khalid Mohammed ‘TID Mnyama’ amesema, yeye ni msanii wa kimataifa tangu siku nyingi ingawa amekuwa hapewi sapoti anayostahili kupata.
Tuesday, October 7, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Unajua kama kufanya muziki kimataifa mimi tayari nilishaenda zamani sana, maana nikikumbuka video zangu nimeshafanya mahojiano na MTV Base, Channel O na pia nimefanya kazi na wasanii kutoka Nigeria na Afrika KusiniAFUNGUKA ZAIDI INAENDELEA>>>
0 comments:
Post a Comment