Monday, October 6, 2014

UZINDUZI WA BIG BROTHER HOTSHOT SERENA DSM

moi n partner in crime
Ms Kambodya



Ms Manongi

Shudaaaaa

Furaha n friend

Seif


Haya sasa tumeshazindua Big Brother Hotshot, kazi kwako mzalendo wa taifa hili kuwa support vijana wenu waliopo mjengoni, wakipata wao ndio tumepata sie jamani tuonyeshe upendo wa hali ya juu


  1. sinta you are beautiful. ni hayo tu japo umeniudhi kuvaa blouse bila kitu chini
    Reply
  2. Hilo shati umekosa hata skin tyt nyeusi ya kuvalia? Khaa ndio nini sasa kuvaa shati peke yake chini peku peku au na wewe unatafuta kuolewa? Maana ndio mitaa ya kutafuta ndoa hiyo. Ushakuwa sasa hayo mambo waachie watoto.
    Reply
    Replies
    1. Wallah nyie watu hamuna jema!!! Akivaa ndefu ooooh anaficha viguu..... Haya kavaa fupi oooohhh amevaa shati. Mjifunze kumchukulia mtu the way alivyo. Usitake afanye vile unavyotaka wewe, ye ataota ayo mawazo yako????
    2. Tukubali kukosolewa bwana.Angevaa kitu chini angependeza zaidi. Ukikubali kusifiwa na kukosolewa ukubali
    3. The thing is too short kwa mama aliyetoka kujifungua, khaaaa!
  3. Baby face mwenyew uyo
    Reply
  4. Mumuache my CEO.Mxiuuuu
    Hiyo inaitwa T-dress..ni kama tshrt but its a dress.Hebu mumpishee
    Umependeza sana my CEO..Wakuache na ushmba wao
    Reply
  5. Wapi Le Mapensi nyanya Le Mutuz hamkumpa mwaliko.
    Reply
  6. Mmmmh jamani uyu mwanamke ni mzuriiiii. Af akazeeki aka Ka sinta
    Reply
    Replies
    1. Shati la Le Mutuz linafunika Gari aina ya StarletOctober 6, 2014 at 12:19 PM
      Ushamuona in person,i beg to differ?
      Afu hayo ma Dashiki yameshika hatamu hata siyataki tena kama vazi la taifa kila mtu analoo
    2. Hahahahha afu muachage kumzingua Le Mutuz na shati lake,Afu sintah huku ndani kwani watembelwaga na ma Robot maana unaambiwa prove you are not a robot.ebooooooo
      Shati la Le Mutuz ukilitundika dirishani laweza kuwa pazia.
    3. jamani khaaa lemutuz u know eti shati lake kama pazia u made my day dear
    4. khaa jamani lemutuz u know eti shati lako kama pazia u know le mapensi u made my day biboo
  7. Among all Sinta amefunika.
    Reply
  8. ioo mimba ama!
    Reply
    Replies
    1. we umeona nini?
  9. kidoshobai mwana chakubimbiOctober 6, 2014 at 11:52 AM
    Umependeza mwanamke mwenzanguuu. Sura umejaaliwa Sinta
    Reply
  10. ila ni kweli mwenzetu hee bora ungevaa hata tite nyeusi jamani ndonini sasa vipaja nje mama mzazi nawe !!! umeniudhii!!
    Reply
  11. Heheeee Chezea Sinta.! Hana haja ya kupiga picha na miwani kuziba sura iliyokomaa Kama ya mamba. Kumbe ndomana kibiriti ngoma hua anabwata hahahaaaa. Kagundua sinta kamzidi mbali mnoo kwa urembo.
    Reply
    Replies
    1. Muogope Mungu wewe. Unauwezo wa kuumba hata kucha mpk unaita mtu aliyeumbwa na Mungu kibiriti ngoma? Utalaaniwa...tubu haraka
    2. Ona roho inavyokuchomoka kwidu kwidu kwiduu,huyu sintah mwenywe alikuwa anavaa miwani mipana kama mchomelea magate usihashuuuuee apaa.
      Haya wale wenye matumbo tukunyema kama sintah tunaanza diet jamani si mnamuona Shamim alivyopendeza kama binti mtoto mchuli,Kikuku choma no mchemsho kama hutaki baki na nyamuzembe zako mpaka simu inapotelea minyamani!!!!!!!!!!!
  12. Wooooowww stunning Sinta
    Reply
  13. Mmenoga !!! Hasa Boss wangu Sinta
    Reply
  14. Chezea mpare weweeee!!!! Hahaaaaa wapare tumejaaliwa urembo bwanaaa.. Beauty with Brain heheee.ni wapare wachache Sana waliokomaa sura hasa wale wenye husda na jicho baya ile wengine woooteee Mashallahhh
    Reply
  15. sinta kauso kamenoga....
    Reply
  16. Heee una mimba!.. Hongera mwaya, wa ngapi huyo
    Reply
    Replies
    1. kiruu maa kitumbo cha uzazi hicho,msione kitumbo basi mimba
      Nyoko zenu(in mama wema's voice)
    2. hahahaa eti in mama wema voice
  17. SINTA UMEPENDEZA SANA NIMEFURAHI KUKUONA
    Reply
  18. Mmmh sura na mwili vitu viwili tofauti...uso unangaa ila miguu na mikono mfyuuuu. Hii mikorogo ya kupima balaaa.,
    Reply
  19. Heee jaman kuzaa imekuwa nongwa oooh mama aliyetoka kujifungua so what?mtu asijiachie kujidai mafashonista ss kwn yy hakuona kama anahtaj hyo tite nyeusi mumtue mtt wa manongi mmwache afanye yake vaa ww hyo tite nyeusi na shati lako ingia kwenye party kama una kadi alaaaa myu asifanye yake kawaomba ushauri wa mavazi au.na akisema hana hyo tite nyeusi mana mmeikomalia kama n hyo tu madukani hebu tutoleeni stress zenu za mavz hapa ndo nshasema .haya tukaneni lkn ukweli ndo huo hata avae kichupi n yy mumwache
    Reply

0 comments:

Post a Comment