Saturday, October 25, 2014

IMG-20141024-WA0001_c769f.jpg
Hii ni Pikipiki aliyokabidhiwa katibu kata ikiwa ni zawadi iliyotolewa na Diwani wa Kata ya Makungu kwa ajili ya kuwafikia wanachama kwa haraka wakati wa utendaji wa kazi za chama.

IMG-20141024-WA0002_a2bb7.jpg
Mtaturu alikabidhi baiskeli sita kwa makatibu tawi kwa ajili ya kuwafikia wanachama kwa haraka wakati wa utendaji wa kazi za chama.
IMG-20141024-WA0003_36091.jpg
Mtaturu akizungumza jambo Picha na Mathias Cana

0 comments:

Post a Comment