Saturday, November 22, 2014

 Taxi ikiwa imegongwa nyuma na canter katika eneo la Mwembechai Magomeni na kusabababishia gari nyingine (haipo pichani)
 Wakazi wa maeneo ya Magomeni Mwembechai wakiwa wamejazana kushuhudia tukio
 Gari aina ya Suzuki Escudo nayo ikiwa imegongwa na Canter eneo la Mwembechai
Askari wa Usalama Barabarani akichukua Maelezo.Picha na Josephat Lukaza

0 comments:

Post a Comment