Wednesday, November 26, 2014

 
Aliyekuwa Spika wa Bunge la Afrika Mshariki Margareti ziwa ameng'olewa kwenye Kikao cha Bunge hilo linalioendelea Nairobi Nchini Kenya.Bunge limemteua Chris Ooka kutoka Uganda kushika  wadhifa huo kwa muda hadi atakaochaguliwa Spika Mwingine

0 comments:

Post a Comment