kushangazwa na tukio hilo huku wakijiuliza kwa nini paka hao wamzingire kamanda huyo na kuwaacha watu wengine? Hata hivyo, baadhi ya wageni waliokwepo walihisi kuwa huenda paka hao walitumwa kishirikina na watu anaopambana nao kwa kuwakamata kutokana na kupatikana na madawa ya kulevya kwani ameweza kwa kiasi kikubwa kudhibiti biashara hiyo haramu hapa nchini.
Hadi wageni hao wanaondoka paka hao bado walikuwa wamemng’ang’ania kamanda huyo.Hata hivyo, kamanda huyo alirudi nyuma na kufunga mlango na kuwaacha paka hao wakiwa wamesimama nje ya mlango wa ofisi yake.
0 comments:
Post a Comment