Katika hali ambayo huenda haijazoeleka, katika watahiniwa hao wamo wafungwa, na mwanamke mwenye umri wa miaka ishirini na tisa na mama wa watoto wanne, ambaye amelazimika kumwacha mwanaye wa miezi miwili na kwenda kufanya mtihani huo.
Kutoka kaunti ya Meru mwanamke mwenye umri wa miaka arobaini na tisa naye ni miongoni mwa watahiniwa hao.
0 comments:
Post a Comment