Friday, November 21, 2014


    "Nimefanya ziara ya siku moja katika kijiji cha Manda Mazingara.Nimezungumza na wananchi na kutoa majibu ya maswali yao. Nimefarijika kukutana na Waajiri wangu na ni imani kwa sura zao wamefurahia uwepo wangu pia.
    TUKO PAMOJA SANA MANDA MAZINGARA."










0 comments:

Post a Comment