Wednesday, November 12, 2014


Aliyewahi kuwa Naibu Waziri Mkuu wa Tanzania Bw.Augustino Mrema (aliyeketi kwenye stuli) akikaribishwa na mpambe wake ili aweze kuhutubia wananchi wake wa Vunjo.. Mkutano huo uliofanyika eneo la Chekereni.

0 comments:

Post a Comment