Baraza la Sanaa Tanzania (Basata) kufanya uchunguzi juu ya suala hilo lakini mpaka jana hakuna ripoti iliyokuwa imetolewa.
Championi Ijumaa lilizungumza na Ofisa Habari wa Basata, Aristides Kwizela ambapo alisema uchunguzi wa suala hilo bado haujakamilika.“Ni kweli siku saba zimepita lakini bado uchunguzi haujakamilika, hatuwezi kusema utakamilika lini ila ufafanuzi utatolewa tu,” alisema Kwizela.

0 comments:
Post a Comment