Posted by Williammalecela.com on Monday, November 10, 2014
Ni siku ya tatu toka Sitti Mtemvu kulivua taji la Miss Tanzania alilotangazwa mshindi baada ya kuandamwa na baadhi ya Watanzania ambao hawakukubaliana na ushindi wake ambapo baada ya kulivua taji hilo Sitti amekua na time ya kuandika machache kwenye page yake ya twitter.
0 comments:
Post a Comment