Thursday, December 18, 2014

Diamond amefika Uganda na kupokelewa na timu ya Zari kwaajili ya party yake ya#ZariAllWhiteCirocParty inayofanyika @guvnoruganda tarehe 18 December 2014. Hizi picha za chakula cha usiku wakiwa na mwenyeji wao Zari.

0 comments:

Post a Comment