LEMUTUZ

Friday, December 26, 2014

BREAKIN NEWZZ!!:- HII HABARI YA MUIMBAJI WA FM ACADEMIA PATCHO MWAMBA KUPIGWA SIO YA UKWELI ANA ALLERGIES NA POMBE!!

Posted by Williammalecela.com on Friday, December 26, 2014
Toka jana kumekuwa na habari za kutatanisha kuhusu Mwanamuziki maarufu nchini na Msanii wa bongo muvi Patcho Mwamba kuhusu kufumaniwa na mke wa mtu na kupigwa vibaya sana mpaka kufanyiwa mabaya zaidi. Ni habari iliyoeneea haraka sana kwenye mitandao ya kijamii na magazetini lakini leo imethibitishwea na Patcho Mwamba mwenyewe pamoja na Mwanasheria wake wa binafsi kwamba sio habari za ukweli. Ukweli ni kwamba Patcho Mwamba ana matatizo ya kuvimba sura kila anapokunywa pombe na hasa kali, jana aliamua mwenye kwa hiari yake kuiweka hii picha Instagram akiomba msaada wa kidaktari ili atafute dawa ya hilo tatizo lake sugu. Kuna wazushi walioamua kwa makusudi kuibadili hii habari na kuifanya kama ilivyotangazwa na karibu vyombo vyote vya habari nchini ni habari za uongo na hazina ukweli wowote! - Le Mutuz

Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

TOTAL PAGEVIEWS

Popular Posts

  • LIVE: RAIS MAGUFULI ANAKABIDHIWA RIPOTI YA UCHUNGUZI WA MADINI
  • BREAKING NEWZ: BASI LA NGANGA LATUMBUKIA MTARONI KULIKWEPA LORI
  • THE UDAKUZ: WEMA SEPETU Vs WOLPER!!
  • IRAN NA MAREKANI WAZIDI KUIMARISHA UHUSIANO
  • PICHA YA KWANZA YA KANISA LA ASKOFU MTATA GWAJIMA BAADA YA KUKUMBWA NA BOMOA BOMOA YA SERIKALI JANA LIVE.
Copyright © LEMUTUZ

Developed by MKCT