"Nikitoa
Mapendekezo juu ya nini kifanyike kuweza kupunguza tatizo la Ajira kwa
vijana. Ukosefu wa ajira unasababisha ukosefu wa Chanzo cha kuingiza
fedha,kijana kuwa na muda bila kufanya lolote na matokeo yake vijana
kuanza kujihusisha na matukio hatarishi,kama wizi,watoto wa kike
kujiuza,kupata mimba za utotoni,kupata magonjwa,kukimbilia kutoa mimba
matokeo yake huweza kupoteza maisha,madawa ya kulevya nk."
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


0 comments:
Post a Comment