Friday, December 5, 2014

4Mwili wa marehemu Elias Anthony ukiingizwa kanisani 5Kaka wa Marehemu Elias Anthony Mapunda Bw. Nesto Mapunda wa pili kutoka kulia na Mkewe Teddy  Mapunda  wakiongoza waombolezaji kuingia kanisani.6Waombolezaji wakiwa kanisani7Kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania TTB Bi. Devotha Mdachi, Meneja masoko wa Bodi hiyo Geofrey Meena wakishiriki katika misa ya mazishi katika kanisa katoliki Mikocheni8Baadhi ya maofisa wa bodi ya utalii wakiwa katika misa hiyo9Msafara uliobeba mwili wa marehemu Elias Mapunda akiwasili katika eneo la makaburi ya Kionondozi tayari kwa mazishi10Msafara uliobeba mwili wa marehemu Elias Mapunda akiwasili katika eneo la makaburi ya Kionondozi tayari kwa mazishi11Teddy  Mapunda  akiwa na mama mkwe wake kushoto mama Agness Marangu tayari kwa kushiriki mazishi ya marehemu Elias Anthony Mapunda katika makaburi ya Kinondoni jana.13Waomboleza wakibeba jeneza la mwili wa marehemu Elias Tayari kwa mazishi.14151617Waombolezaji wakiwa makaburini18Teddy  Mapunda  na waombolezaji wengine ndugu jamaa na marafiki wakiweka mchanga kaburini19Nesto   Mapunda  kaka wa Marehemu Elias Mapunda akiweka mchanga kaburini wakati wa mazishi ya marehemu Elias.20Waombolezaji wakiwa na huzuni kubwa wakati wa mazishi ya Marehemu Elias Anthony Mapunda yaliyofanyika kwenye makaburi ya Kinondoni jana.

0 comments:

Post a Comment