LEMUTUZ

Sunday, December 7, 2014

MASKINI WASTARA WA BONGO MUVI: INASIKITISHA SANA!

Posted by Williammalecela.com on Sunday, December 07, 2014
Muigizaji wa kike wa Filamu hapa nchini, Wastara Sajuki amesikitishwa na taarifa za uongo zilizoenea nchini Burundi kuwa alishafariki kwa ajali ya gari. Kupitia ukurasa wake wa matandao wa INSTAGRAM muigizaji huyo ambaye aliondoka hapa nchini juzi kuelekea nchini humo kizazi. Mbali na kuonekana mwenye furaha kwa picha alizoziweka kwenye ukurasa huo akiwa sehemu za ufukweni (Baadhi ya picha kama unavyoziona hapo chini), Wastara alikutana na mashabiki wake na taarifa za kuwa walidhani amekisha fariki ndipo alipozipata.

Hiki ndicho alichokiandika:
Hii imeniskitisha saana baada ya kukutana na mshabiki.wangu.na kusema taharifa walizonazo burundi nilishafariki kitambo kwa ajali.shughuli ilikuwepo nilionekana kma nimefufukia.burundi daah aliyezusha hivyo.naimani nitamzika yeye kabla yangu kigupi sijafa.maahabiki wangu.wa burundi.niko.hai.naendelea.kutumikia taifa.langu.nanyi.pia.Mungu ni.mwema.bado.ananipa.pumzi–Wastara

Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

TOTAL PAGEVIEWS

Popular Posts

  • LIVE: RAIS MAGUFULI ANAKABIDHIWA RIPOTI YA UCHUNGUZI WA MADINI
  • BREAKING NEWZ: BASI LA NGANGA LATUMBUKIA MTARONI KULIKWEPA LORI
  • THE UDAKUZ: WEMA SEPETU Vs WOLPER!!
  • IRAN NA MAREKANI WAZIDI KUIMARISHA UHUSIANO
  • PICHA YA KWANZA YA KANISA LA ASKOFU MTATA GWAJIMA BAADA YA KUKUMBWA NA BOMOA BOMOA YA SERIKALI JANA LIVE.
Copyright © LEMUTUZ

Developed by MKCT