Saturday, December 27, 2014

"Hii ni nyumba ya Rafiki yangu Litaka Jr maeneo ya Kigambon imevunjwa leo asubuhi katika mazingira ya kutatanisha ki ukweli inauma sana nyumba ikiwa na umiliki halali wa aridh na pamoja na yote kuna kesi ya msingi ipo mahakaman
ambayo hata kesi haijaisha ghafla leo askari polisi na mgambo inasemekana ni wa manespaa ya temeke kwa kutumia greda wameibomoa nyumba yote na kuifanya familia isijue la kufanya hakika nchi hii sasa imefika pabaya ambapo serikali kwa makusudi ina wadhulum wananchi wake
Mungu ibarike Tanzania"


0 comments:

Post a Comment