Posted by Williammalecela.com on Monday, December 29, 2014
 |
"Kila
jamii na desturi zake,tukio hili lilikuwa Juni 21,2014 katika kijiji
cha Sanya Stesheni nilipokuwa na kundi la Wamarekani,kama ilivyo desturi
yetu ya ukarimu,walizawadiwa ndafu,
mstuko mkubwa uliwapata katika kuona
kwa mara ya kwanza aina hiyo ya mbuzi na nililazimika kuwapa ufafanuzi
wa hiyo zawadi ya mbuzi aliyehokwa kwa ufundi mkubwa wa utaalamu wa
asili"
|
0 comments:
Post a Comment