Saturday, December 20, 2014

JAMAA anayedaiwa kwamba ni mpambe mkubwa wa mmoja wa wagombea urais mwakani ambaye ni fundi wa kufunga madishi, mkazi wa Magomeni-Makanya jijini Dar es Salaam, almaarufu Mgosingwa, amejikuta akivishwa shanga baada ya kunaswa na mke wa mtu chumbani kwake. 
Mgosingwa akivishwa shanga baada ya kufumaniwa na mke wa mtu. 

Tukio hilo la aina yake la kufungia mwaka 2014 lilijiri kwenye fumanizi la jamaa huyo lililochukua nafasi nyumbani kwake maeneo ya Magomeni-Makanya, Dar, Jumanne iliyopita ambapo alifumwa na mke wa jamaa aliyejitambulisha kwa jina moja la Faki aitwaye Mwanahamisi akidaiwa kumrubuni kwa nguo za Sikukuu ya Krismasi. 

0 comments:

Post a Comment